Posts

Showing posts from October 2, 2014

VIDEO:IZZO BUSINESS WALALA HOI WAWEZA DOWNLOAD

Image
                                                 izzo business video ya walala hoi

LOVE STORY 4

AKIWA kwenye ziara yake ya kikazi, mara kwa mara Rais Martin alikuwa akipiga simu ikulu kuulizia maendeleo ya mkewe ambaye alimuacha akiwa na hali ya kutatanisha. “Mume wangu, naendelea vizuri ila nina habari njema kwako.” “Ooh afadhali mke wangu kama unaendelea vizuri, unataka kunipa habari gani?” aliuliza Rais Martin huku akionekana kuwa na shauku kubwa. “Wala usishtuke mume wangu kipenzi, mwenzio nime... nime...” alisema First Lady huyo lakini akashindwa kumalizia sentensi yake, akasikika akicheka kwa furaha, jambo lililozidi kumuweka Rais Martin njia panda. “Unaniweka roho juu mke wangu, tafadhali niambie,” alisema Rais Martin huku akionesha dhahiri kuwa na shauku kubwa ndani ya moyo wake, mke wake akamwambia jambo ambalo lilimshtua na kumfurahisha mno

LOVE STORY 3

Ebola, ugonjwa usio na tiba wala kinga umeikumba nchi ya Liberia na kusababisha maafa makubwa kwa wananchi wake. Watu wengi wanaambukizwa ugonjwa huo na ndani ya muda mfupi tu, mamia ya wananchi wanapoteza maisha. Hali ya hatari inatangazwa nchi nzima ambapo maeneo yaliyoathirika zaidi yanawekwa chini ya karantini maalum, watu wakizuiwa kuingia au kutoka bila kuwa na sababu maalum. Licha ya serikali iliyokuwa inaongozwa na rais mwanamke, mwanamama shupavu mwenye moyo wa kipekee,  Hellen Joseph, kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wake kupambana na ugonjwa huo, kazi inakuwa ngumu na maelfu ya watu wanaendelea kupoteza maisha na kuambukizwa ugonjwa huo hatari. Hali inazidi kuwa tete kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele, maiti nyingi za watu waliokufa kwa ugonjwa huo zinatapakaa mitaani huku maelfu ya wakazi wakiyakimbia makazi yao wakiogopa kuambukizwa ugonjwa huo hatari. Jiji la Monrovia linabaki kuwa kimya kabisa huku harufu za maiti zikizidi kuifanya hali kuwa ya kutisha

FACTS ABOUT MEN

Image
By Anonymous   1.       Men like to barbecue. Men will cook if danger is involved. 2.       Men who have pierced ears are better prepared for marriage. They’ve experienced pain and bought jewelry. 3.       Marrying a divorced man is ecologically responsible. In a world where there are more women than men, it pays to recycle

IF YOU WANNA KILL YOUR MARRIAGE, JUST DO THIS TO YOUR HUBBY

Image
If some of you ladies want to know how you can suck the life out of your marriage and drive your husband to insanity … or to the bar … or into the arms of another woman … or to a divorce attorney … or just shrivel him up into a conquered quail who inwardly loathes you as he dies a slow, emotionally tortuous death, well then … this is your lucky day

THE DIFFERENCE BETWEEN MEN AND WOMEN

Image
  SUCCESS: A successful man is one who makes more money than his wife can spend; A successful woman is one who can find such a man

BMW YA WEMA YA MPA UTATA DIAMOND

Image
Stori: Mwandishi Wetu Ni sheeedah! Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amecharukia gari aina ya BMW 545 alilozawadiwa mwandani wake, Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ ambaye ni Miss Tanzania 2006/07, akipinga gari hilo kupewa na meneja wake, Martin Kadinda. Gari aina ya BMW 545i alilozawadiwa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na meneja wake, Martin Kadinda

KURA YA 'HAPANA' YALITIKISA BUNGE LA KATIBA

Image
                                               katika bunge la katiba Dodoma.  Wajumbe wa Bunge la Maalumu la Katiba jana walianza kupiga kura za kuamua ibara za Katiba inayopendekezwa, huku kura za wajumbe kutoka Zanzibar zikiibua wasiwasi wa iwapo theluthi mbili itapatikana au la. Dalili za kupiga kura za hapana kutoka upande wa Zanzibar zilianza kujionyesha mapema baada ya taarifa za ndani kueleza kuwa zikikosekana 10 kutoka upande huo wa Muungano hakuna katiba.

CHRIS BROWN NA (NEW FLAME) AKIWA NA USHER & RICK ROSS, YOUR WELCOME TO WHATCH AND DOWNLOADING

Image

GARDNER ATAKA JIDE AELEZE UKWELI JUU YA NDOA YAO

Image
Stori: Mayasa Mariwata Habari ya mjini katika ulimwengu wa mastaa Bongo ni kitendo cha mtangazaji mwenye jina kubwa wa Kipindi cha Maskani cha Redio Times FM, Gardner G Habash ‘Kepteini’ kutaka mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ ndiye aeleze ukweli juu ya ndoa yao