Posts

Showing posts from September 2, 2013

TRANSFER DEADLINE LIVE: TETESI NA HABARI ZOTE ZA USAJILI KATIKA SIKU YA MWISHO YA USAJILI

Image
Leo September 2 ya mwisho ya dirisha la usajili barani ulaya - vilabu kadhaa vimekuwa busy katika siku hii kuhakikisha wanaimarisha timu zao . Mtandao huu utakuwa unakuletea taarifa zo te zinazohusiana na usajili barani ulaya. Ungana nasi................. TAARIFA ZOTE ZINAZOHUSI ANA NA USAJILI BARANI ULAYA  Manchester United na Everton wameendelea kubisha na juu ya ada ya uhamisho wa Leighton Baines - taarifa zilitoka hivi sasa zinasema kwamba Toffes wameikataa ofa ya £15m na wame waamb ia United ni kiasi cha £20million ndicho kitawafanya wafanye baishara ya mchezaji huyo. Yakiwa yamebaki masaa 6 kabla ya dirisha la usajili kufungwa vyombo vya habari vikubwa vya Sp ain, Marca na AS vimeripoti kwamba Man Unite d wamekubali kulipa kiasi cha £30.5 kw ajili ya Ander Herrera na kiungo huyo anatarajiwa kusaini mkataba wa mia ka 5 leo hii. Wakati kukiwa hakuna taarifa zaidi kuhusu usajili wa Ozil, imefahamika Arsenal wanajiandaa kuongea na PSG ku

STORY YA KUSIKITISHA YA KAKA NDANI YA MADRID - KUTOKA KUSHINDA UCHEZAJI BORA WA DUNIA MPAKA KWENYE BECHI LA SANTIAGO BERNABEU

Image
Usajili wake ulikuwa ndio mwanzo mpya wa zama za Galacticos ndani ya Madrid. Florentino Perez alikuwa amere jea kwenye uongozi wa Real Madrid wakati wa kiangazi mwaka 2009 na kaka akawa mchezaji wa kwanza kuwasili Bernabeu katika project ya kuijenga upya Madrid. Lakini miaka minne baadae , mbrazil huyu yupo tayari kuondoka Sant ia go Bernabeu kupitia mlango wa nyuma - mchezaji ghali zaidi ambaye amefeli kufi kia mategemeo . Akiwa n dio mchezaji wa kwanza katika kuijenga Galacticos mpya chini ya Perez, kuwasili kwake kulit oa matumaini kwa mashabiki kwamba timu yao sasa itarudi kwenye utawala wa soka barani ulaya baada ya kunyanyaswa na mahasimu wao Barcelona katika msimu wa 2008-09. Na kiasi cha €65 million kikalipwa kwa ajili ya kupata saini ya mshindi wa Ballon d'Or 2007 hivyo kumfanya kuwa mchezaji wa pili ghali zaidi duniani akit okea AC Milan. Cristiano Ronaldo akafuatia kutokea Manchester United katika dili la uhamisho ambalo lilisababisha kelele nyingi za w