Posts

Showing posts from February 2, 2014

Libya washinda CHAN 2014

Image
Libya mabingwa wa CHAN 2014 Libya imepata ushindi wake wa kwanza wa kombe la taifa bingwa Afrika kwa mikwaju ya penalti 4-3 dhidi ya Ghana mjini Cape Town Afrika Kusini. Mechi ya fainali kati ya nchi hizo mbili ilikamilika kwa sare tasa kabla ya Joshua Tijani wa Ghana kukosa bao la penalti na kuipa Libya ushindi wake.

CHELSEA, LIVERPOOL, ARSENAL WAJIANDAA KUISHTAKI MAN CITY KUVUNJA SHERIA YA "FINANCIAL FAIR PLAY" ILI WAFUNGIWE KUCHEZA CHAMPIONS LEAGUE MSIMU UJAO

Image
Arsenal, Chelsea na Liverpool wanaweza kutumia kipengele kidogo kwenye sheria ya "financial fair play' ya UEFA ili kuibania Manchester City haki ya kucheza katika mashindano ya Champions league msimu ujao. Kuna kanuni za kisheria zinazowapa wapinzani haki ya kuwashtaki City kwamba wamekiuka sheria na kushindwa kufuata sheria ya ya UEFA ya ‘Financial Fair Play’ (FFP).