Posts

Showing posts from October 19, 2013

LONG TIME THIS SONG FROM CHICCO-I NEED SOME MONEY NICE SONG

Image
Chicco-I need some money   http://samwelmlawa.blogspot.com

GOODS SONG OF ENRQUE IGLESIAS WATCH HERE:

Image
                          Enrque iglesias-love to see you cry     http://samwelmlawa.blogspot.com

NISHA: MUZIKI NILIFUATA MKUMBO, NAJUTA

Image
STAA wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema kuwa katika maisha yake hakuwahi kufikiria kujihusisha na masuala ya muziki, isipokuwa aliingia katika fani hiyo kwa kufuata mkumbo. Akipiga stori na paparazi wetu, Nisha  alisema imekuwa ni aibu kubwa kujikita kwenye fani hiyo na kukaa

Bomu lauwa wengi Beledweyne, Somalia

Image
Mshambuliaji wa kujitolea mhanga amejiripua kwenye mkahawa uliojaa watu katika mji wa Beledweyne, katikati mwa Somalia. Watu kama 16 wameuwawa na zaidi ya 30 kujeruhiwa. Kundi la wapiganaji wa Kiislamu, Al Shabab, limesema limefanya shambulio hilo. Serikali ya Somalia, ikisaidiwa na kikosi cha wanajeshi kutoka nchi kadha za Afrika, inapigana na Al Shabab ili kuidhibiti nchi.

MAN UTD KUPOTEZA MWELEKEO

Image
Wachezaji wa Man United kwa mara nyingine tena Manchester United imeandikisha matokeo mabaya kwa kutoka sare nyumbani. Goli lililofngwa na nahodha Adam Lallana dakika moja kabla ya mechi kumalizika,limeiwezesha Southampton kuondoka na alama 1 kwenye uwanja wa Old Trafford.

Premier League: Sergio Aguero scores two as Manchester City beat West Ham

Image
Sergio Aguero celebrates his second Sergio Aguero scored two and set up a third as Manchester City climbed into the top four of the Premier League with a 3-1 victory against West Ham at Upton Park. The opening goal came in the 16th minute when Fernandinho's slide-rule pass was allowed to run by Alvaro Negredo, putting the West Ham defence on their heels and giving Aguero the opportunity to ghost into the box and finish with aplomb beyond Jussi Jaaskelainen. The Argentina international then accepted a gift-wrapped second from the home side early in the second half as he was left unmarked eight yards out to power a header in at the near post from David Silva's free-kick despite the best efforts of Jaaskelainen. West Ham responded well and enjoyed their best period of the match, which culminated in an improv

Premier League: Arsenal, Man City and Chelsea win as Manchester United draw with Southampton

Image
Jack Wilshere: Celebrates Arsenal's opening goal Arsenal opened up a two-point gap at the top of the Premier League after thrashing Norwich City at home as Manchester United stuttered again in their wobbling title defence. Sunderland boss Gus Poyet endured an afternoon to forget in his first match in charge, while Steven Gerrard scored a landmark goal as Liverpool drew at Newcastle United. Manchester City claimed a first away league win of the season after proving too good for West Ham United. Chelsea striker Samuel Eto'o finally got off the mark in a home win over Cardiff City, Everton edged past Hull City and Stoke City were held at home by West Bromwich Albion. Ar

MBEYA CITY KUITIKISA NCHI KWA SAA KADHAA LEO?, WAWATETEMESHA JKT RUVU SOKOINE, MAKATA AWATULIZA MZUKA!!

Image
                                                                  “Tunataka kuwaambia Watanzania kuwa klabu yetu ni mpya na ina falsafa mpya kabisa, vijana n dio msingi wetu. Pia tunajua mashabiki ni mchezaji wa 12, tunawaomba wajitokeza leo kwa wingi kwani tutawapa raha kama tulivyofanya huko nyuma”. Alisema Maka. WAKALI wapya wa ligi kuu soka Tanzania bara `Nyuki wa nyanda za juu kusini`, klabu ya Mbeya City wametamba kuwa leo wanataka kuisimamisha nchi kwa muda na kuwajulisha watanzania kuwa falsafa yao mpya na mtazamo mpya kweli unafanya kazi. Akizungumza kwa njia ya simu kutoka jijini Mbeya na mtandao wa  Samwelmlawa muda mfupi uliopita, Kocha msaidizi wa klabu hiyo, Maka Mwalwisyi amesema wachezaji wote wana morali kubwa na wanategemea kuiambia Tanzania kuwa falsafa mpya imekuja na watapa matokeo mazuri jioni ya leo dhidi ya JKT Ruvu na kuongoza ligi kwa saa kadhaa. “Falsafa na mtazamo mpya ndio dira yetu, sisi tunaamini kuwatumia vijana wadogo, tunawa