Posts

Showing posts from September 3, 2013

USAJILI WA ANDER HERRERA KWENDA MAN UNITED UMESHINDIKANA KUTOKANA NA SHERIA YA KODI NCHINI HISPANIA

Image
Usajili wa kiungo wa kihispania Ander Herrera umeshindikana baada ya ucheleweshwaji wa mambo na taratibu za usajili kabla ya dirisha la usajili kufungwa. Japokuwa inasemekana kwamba United walikubali kulipa kiasi cha €36 million ili kumsajili kiungo huyo , vyanzo mbalimbali kutoka nchini Spain vi nasema kwamba masuala kadhaa ya sheria ya kodi nchini Hispania yalisababisha dili hilo lisifanyike.  Mtandao wa ESPN unaripoti kwamba kutoka na masuala ya kodi gharama nyingine zisi zo zidi kiasi cha €6m zilisababisha United kushindwa kuk amilisha usajili wa mchezaji huyo ambaye amekuwa kwenye kiwango bora sana katika timu ya Bil bao . United tayari walishamtaarishia namba ya jezi na maslahi binafsi yalishafanyika , huku Herrera akikub ali kukubali kupunguzwa kwa maslahi yake binafsi ili kukamilisha usajili huo.   Lakini pamoja na kushind ikana kwa dili katika dirisha hili, inaaminika United watarudi tena kwa kiungo huyo katika dirisha la usajili la mwezi January.

SERIKALI YAJIBU MAPIGO KWA MTANDAO WA KENYA ULIOANZA KUICHOKONOA TANZANIA

Image
Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari- (MAELEZO) Assah Mwambene  akizungumza  na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam   kuhusu  mtandao wa kijamii wa nchini Kenya ulioituhumu  Serikali ya Tanzania.  -------------- Na Fatma Salum-MAELEZO   SERIKALI  ya Tanzania imetoa ufafanuzi kuhusu tuhuma mbalimbali dhidi yake zilizotolewa na mtandao wa kijamii wa nchini Kenya ujulikanao kama   www.standardmedia.co.ke  unaosadikika kuendeshwa na kampuni ya gazeti la The Standard la nchini humo.   Akizungumza  na waandishi wa habari leo  jijini Dar es Salaam, Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari- (MAELEZO) Assah Mwambene , alisema mtandao huo umeripoti kuwa  Serikali ya Tanzania imekataa kuiuzia Kenya gesi asili ya Songosongo jambo ambalo halina ukweli  kwa kuwa  gesi inayozalishwa hivi sasa bado haijafikia kiasi cha kuweza kuuzwa nje ya nchi.   Mtandao huo pia umeripoti kuwa Serikali ya Tanzania ilikataa viwanja vyake

DIAMOND ATUHUMIWA KUIBA WIMBO WA DYNA..."MY NUMBER ONE"

Image
 Baada ya tuhuma za kuiba wimbo wa H.Baba na Pasha,Msanii Naseeb Abdul Diamond Platnum, ameingia tena ndani ya tuhuma nzito  baada ya  madai   kwamba wimbo anaotaka kuuachia wa No.1 ni wa Dayna. Inasemekana awali Dayna alimtaka Diamond wakafanye wimbo kwa Shedy, Diamond akakubali, akaskiliza mdundo na kumuahidi Dayna kwamba wangefanya wote. Lakini baadae Diamond akamrubuni Shedy na kumwambia ile bit ampe na aachane na kazi ya Dayna. Hii ni demo ya wimbo wa Dayna ambao unafanana kila kitu na wimbo wa Diamond ambao ameuachia sasa...dayna anadaikuwa diamond amemzunguka"ukickiliza beat"ambalo nilitakiwa kufanyanae kazi

MASANJA MKANDAMIZAJI AMWAGA MACHOZI BAADA YA KUSINGIZIWA KUWA ANAUZA BANGI

Image
 Jana zilisambaa  habari  kwamba  masanja  mkandamizaji  na  msanii Diamond  wamedakwa  na  polisi  na  possport  zao  za  kusafiria  zimezuiwa.... Taarifa  hizo  zimemfanya  Masanja  afunguke  na  kudai  kwamba  habari  hizo  si  za  kweli, ni  habari  zenye  lengo  la  kumchafulia  jina. Masanja  ameenda  mbali  zaidi  na  kudai  kwamba yeye  ni  mtumishi  wa  mungu, yeye  ni  mjasiliamali  na  ni  mkulima  pia. Mali  alizonazo  zinatokana  na  juhudi  zake  za  kazi. TBC wanamlipa  milioni  5  kwa  mwezi.Stoo  ana  magunia  ya  mpunga  zaidi  ya  1000  na  kila  gunia  linauzwa  zaidi  ya  200,000.