Posts

Showing posts from July 22, 2015

UFUGAJI WA NGURUWE

Image
Utunzaji wa nguruwe mara nyingi hutegemea aina ya nguruwe, njia na aina ya ufugaji. Kwa mfano nguruwe jike anayefugwa kwa ajili ya kuzaa anahitaji kutunzwa tofauti na wale wanaonenepeshwa kwa ajili ya nyama. Kadhalika nguruwe wanaweza kufugwa ndani ya banda au nje, kutegemea na ukubwa wa shamba, fedha zilizopo kwa shughuli za ufugaji na aina ya nguruwe. Utunzaji wa Nguruwe Dume Achaguliwe dume mwenye sifa bora ikiwa ni pamoja

SIFA ZA MABANDA YA KUFUGIA KUKU

Image
Banda la kuku Katika ufugaji wa kuku itakiwa kuwa na ubunifu wa banda la ufugiaji kuku ili kuboresha uzalishaji wa kuku bora wenye afya nzuri na wasiweze kushambuliwa na magonjwa mbalimbali kwa mazingira ya mabanda yakiwa ayana ubora ni  tatizo. Kuna watu wameweka fikra za ufugaji lakini awazii banda la kuwaweka kuku linatakiwa likizi vitu gan ili aweze kufuga.        SIFA ZA BANDA ZURI LA KUKU:     kuwe na hewa yakutosha kwenye ilo banda.

NJIA ZA UFUGAJI WA KUKU

     Mwandishi:Samwel mlawa Kuna usemi flani unatumiwa na watu wengi sana. unasema; “kazi ndio msingi wa maendeleo ya mtu yeyote” . Hata mimi nakubaliana na usemi huu kwani ni kweli kabisa kazi ndio msingi wa hatua yoyote ya maendeleo ya mtu yeyote chini ya msingi mkuu ambao ni Mungu. Kinyume chake, asiyefanya kazi (ya kuajiriwa/kujiajiri) basi atabaki kuwa maskini na mtu wa shida ya kipato, mahusiano mabaya na wanadamu wenzako, kuwa tegemezi nk. Kwa kuwa tunatamani sana kutoka katika kongwa hili la umasikini wa kipato na hali mbaya ya maisha, tunalazimika kufanya jukumu letu kuu la kumuomba sana Mungu ili atuwezeshe kujua na kufahamu mbinu mbalimbali kisha kujifunza na kufahamu kwa makini tena kwa njia rahisi mno za kututoa katika hali hii ya umaskini uliokithiri. Ikumbukwe kwamba, kujifunza kwa msisimko tu bila ya kuyaingiza mambo hayo uliyojifunza katika mazoezi na vitendo vya makusudi maishani mwetu ni wazi kwamba hayatatusaidia, bali yatabaki vichwani mwetu kama hadithi tu za