Posts

Showing posts from May 26, 2014

NIKKI WA PILI AFUNGUKA AJAWAHI KUMTUNGIA NYIMBO JOH MAKIN

Image
Nickson Simon (Nikki wa Pili) baada ya kulonga na media Katika  makundi ya Hip Hop yanayofanya vizuri kwa sasa ni wazi utalitaja kundi moja maarufu kutoka pande za Arusha, Weusi. Kundi hilo linaongozwa na vichwa vitano vikiwemo, Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’, Nickson Simon (Nikki wa Pili), George Sixtus Mdemu (G Nako), John Simon (Joh Makini) na Bonta. Jamaa wana ngoma nyingi ambazo zote zimeweza kushika chati ikiwa ni pamoja na ya

BWAWA LA MAJI GUMZO KUPONYA MAGONJWA

Image
Stori: Mtandao WANADAMU  wanazidi kuegemea kwenye imani utata! Hivi karibuni, watu mbalimbali wenye magonjwa wamekuwa wakimiminika nchini Nigeria na kuoga maji ya bwawa yanayodaiwa yanaponya magonjwa papo hapo