Posts

Showing posts from January 31, 2014

Man City yaongoza ligi kuu England

Image
23:12 GMT Facebook Twitter Google+ Tuma kwa rafiki yako Chapisha Mshambulizi Sergio Aguero wa Man City Klabu ya Manchester City imechupa hadi kileleni mwa ligi kuu ya soka nchini England baana ya kuonesha soka safi dhidi ya klabu ya Tottenham katika uga wa White Hart Lane. Kikosi cha kocha Manuel Pellegrini kilihitaji ushindi dhidi ya Spurs ili kuwapiku Arsenal kwenye jedwali

MZEE GURUMO AFUNGUKIA SKENDO ZA DIAMOND

Image
Mayasa Mariwata na Shani Ramadhan MSANII mkongwe wa muziki wa dansi Bongo, Muhidini Gurumo ambaye kwa sasa amestaafu, amefungukia skendo ya kuwa na mademu wengi inayomuandama Nasibu Abdul ‘Diamond’. Nasibu Abdul ‘Diamond’. Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni maeneo ya Ilala jijini Dar, Mzee Gurumo

KENNETH KIDAGO WA EAST AFRICA RADIO AFARIKI DUNIA

Image
  Marehemu Kenneth Kidago Lyanga enzi ya uhai wake. Mbunifu Msaidizi na Mtangazaji wa Habari za Michezo wa East Africa Radio Kenneth Kidago Lyanga amefariki dunia nyumbani kwake Mwenge Mlalakua, Jijini Dar es Salaam