Posts

Showing posts from September 8, 2014

NYAMA YA KIBOKO YAWALETEA MAAFA

Image
Watu kumi walikanyagwa na gari lililokuwa linakwenda kwa mwendo wa kasi walipokuwa wanajaribu kujipatia angalau kipande cha nyama ya Kiboko mwishoni mwa wiki.   Taarifa hii ni kwa mujibu wa mtandao wa Daily Nation. Kiboko huyo alikuwa amegongwa na gari na kufariki Jumamosi jioni katika mkoa wa Limpopo wakati ambapo wanakijiji walikimbia katika sehemu hiyo angalau kujipatia kipande cha nyama. Msemaji wa polisi aliambia shirika la habari la AFP kwamba mnyama huyo aligongwa na wanakijiji wakaona fursa ya nyama ya bure ambapo walikimbia kuinyakua na kuanza kuikatakata, '' ''Hapo ndipo gari lililokuwa linakwenda kwa kasi liliwagonga watu 8 walipokuwa wanakata nyama hiyo na kuwaua,'' aliongeza kusema msemaji huyo wa polisi. Watu wengine wawili walifariki kutokana na majereha yao mabaya wakiwa wanapokea matibabu hospitalini. Polisi wanasema kuwa watu wengine saba akiwemo dereva wa gari hilo wanapokea matibabu hospitalini.

JERRY MURO ATEULIWA KUWA MSEMAJI MPYA WA YANGA

Image
Mtangazaji wa zamaani wa vipindi vya ITV na TBC1, Jerry Muro ameteuliwa kuwa msemaji mpya wa club ya Yanga                                                                Jerry muro                                                                      Chanzo kimoja kimeliambia gazeti hilo kuwa mkataba wa Kizuguto ulikuwa unakwenda ukingoni na hivyo

VIDEO:MR NAY YA ZUWA VIOJA WAWEZA KUIPAKUWA NA KUITAZA,MA

Image

NICKMINAJ AJIACHIA NA VIDEO YA ANACONDA NI SHEEEDAH WATCH

Image

NICE MOVIE DONT MISS

Image

LOVE STORY 2

Ugonjwa wa kutisha usio na tiba wala kinga, Ebola umeikumba nchi ya Liberia na kusababisha maafa makubwa. Hali ya hatari inatangazwa nchi nzima ambapo maeneo yaliyoathirika sana yanawekwa chini ya karantini maalum, watu wakizuiwa kuingia au kutoka bila kuwa na sababu maalum. Licha ya serikali iliyokuwa inaongozwa na rais mwanamke, mwanamama shupavu mwenye moyo wa kipekee,  Hellen Joseph, kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wake kupambana na ugonjwa huo, kazi inakuwa ngumu na mamia ya watu wanaendelea kupoteza maisha na kuambukizwa ugonjwa huo hatari. Hali inazidi kuwa tete kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele, maiti nyingi za watu waliokufa kwa ugonjwa huo zinatapakaa mitaani huku maelfu ya wakazi wakiyakimbia makazi yao wakiogopa kuambukizwa ugonjwa huo hatari. Jiji la Monrovia linabaki kuwa kimya

LOVE STORY

“Natangaza hali ya hatari, nchi yetu imekumbwa na balaa kubwa. Sote tutakuwa mashahidi wa jinsi ndugu zetu wa karibu, familia zetu, watu tunaowapenda na majirani zetu wanavyozidi kupukutika kutokana na ugonjwa huu

WEMA ANAFAA KUWA MKE

Image
FAGIO! Mkali wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amemmwagia sifa shosti yake Wema Sepetu na kudai anafaa kuwa mke kama alivyo yeye.

UVIVU WAKO NI SABABU YA MWENZIO KUCHEPUKA

Image
Mpenzi msomaji, wiki iliyopita nilielezea  kuhusu wanaume wasivyowaelewa wenza wao wanapowaambia wamechoka wanapohitaji kuwa nao faragha.  Kwa nini? Endelea  na darasa hili... Utafiti unaeleza kuwa wanaume wengi huwa hawakubali neno “nimechoka” ambalo anaweza kuambiwa na mwenzi wake

AJALI MBAYA YATOKEA GAIRO

Image
Ivi ndivyo ajali ilivyokuwa gari lipo nyang'anyang'a

KESI YA PONDA YAAHIRISHWA MPAKA SEPTEMBA 22

Image
Shehe Ponda akiwasalimu waumini ndani ya mahakama. …Akiwa  na askari magereza.