Posts

Showing posts from January 9, 2014

Swansea boss Michael Laudrup says Old Trafford game is 'must-win' for Manchester United

Image
Michael Laudrup: Swansea boss (left) with United boss David Moyes Swansea boss Michael Laudrup has labelled Saturday's Premier League encounter against Manchester United as a 'must-win game' for the champions. United are desperate to halt a run of three successive defeats which has seen them crash out of the FA Cup, drop to seventh in the table and slip-up 2-1 in their Capital One Cup semi-final first leg at the Stadium of Light.

Copa del Rey: Real Madrid beat Osasuna 2-0 in round of 16 first-leg clash

Image
Karim Benzema: Celebrates his goal for Real Madrid on Thursday Real Madrid picked up a solid advantage over Osasuna as they claimed a 2-0 win in the Copa del Rey round of 16 first leg at the Bernabeu on Thursday evening.

ManU wasiwasi kutetea ubingwa

Image
David Moyes, meneja wa Manchester United Kocha Mkuu wa Klabu ya Manchester United ya England, David Moyes amesema angependa kusajili baadhi ya wachezaji kuimarisha kikosi chake lakini ana wasi wasi huenda asiweze kuwapata wachezaji hao katika usajili wa dirisha dogo mwezi huu wa Januari. Kiungo Marouane Fellaini ndiye mchezaji pekee aliyesajiliwa tangu

HUNA SABABU YA KUUWEKA MOYO WAKO REHANI!

Image
MAPENZI ni sanaa yenye wigo mpana sana. Unahitajika uwe mbunifu sana ili uweze kuendelea kuwa bora kwa mpenzi wako kila siku. Lazima uwe mtafutaji wa kitu kipya ili uweze kuwa wa tofauti kwa mwenzako.

DOKTA MIMI SIUMWI HUKO (sehemu ya kwaza fwatilia kisa hiki chakusisimua)

Ulikwenda hospitali mke wangu?” Masofa alimuuliza mke wake Sulee. “Nilikwenda, lakini daktari kasema mimba nitapata tu ndani ya mwezi mmoja.” “Ndani ya mwezi mmoja utapata mimba? Inawezekana kweli? Hujamwambia kwamba tumehangaika kutafuta mtoto kwa miaka nane, sasa ndani ya mwezi mmoja mimba itapatikana vipi?” “Mimi sijui Masofa.” “Mh! Haya, kwa sababu tumeambiwa na mtu tunayemwamini tuangalie, labda kweli daktari yule atatusaidia. Hakusema uende na mimi?” “Hakusema Masofa, ila alisema kama naweza kesho na keshokutwa niende usiku saa moja ili anipime vizuri.” “Alikupa

WANAOAMINI, NDIYO WANAOONGOZA KWA KUSALITI WENZAO, UPO?

Image
AWALI ya yote nimshukuru Mungu kwa kunifanya kuwa miongoni mwa wale waliobahatika kuuona mwaka huu wa 2014 tukiwa wazima. Nichukue nafasi hii pia kuwatakia kila la kheri nanyi ili wote tuwe na amani na furaha. Mpenzi msomaji wangu, kilio cha wengi walio kwenye uhusiano ni kuhisi wanasalitiwa na wapenzi wao waliotokea kuwaamini sana. Wapo ambao si tu kwamba wanahisi bali wanawafumania kila kukicha waume/wake zao licha ya imani waliyokuwa wamejijengea kuwa kwa mapenzi wanayooneshwa hawawezi kusalitiwa.

BASI LA MTEI LATEKETEZWA KWA MOTO BAADA YA KUGONGA NA KUUA SINGIDA

Image
Basi la mtei likiteketea kwa moto baada ya kuchomwa na watu wenye hasira kali.

DIAMOND KUMNUNULIA WEMA JUMBA LA MIL 125

Image
STAA wa Bongo Fleva mwenye mbwembwe kibao, pia anasifika kwa kuwa msafi na anasemekana ndiye mwenye mkwanja wa nguvu Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ anadaiwa yuko kwenye mchakato wa kumnunulia jumba la kifahari mpenzi wake wa ‘nenda rudi’, Wema Sepetu, Amani limeinyaka hii.