Posts

Showing posts from November 13, 2013

MAINDA: NIMETOA MIMBA YA RAY

Image
Video ipo chini ya  simulizi katika sehemu ya mahojiano kati ya GPL na Mainda. Msikilize mwanadada huyo akifunguka!. Stori: HILI ndiyo Risasi bwana! Sikia, kama ulikuwa hujui ni kwamba msanii mkongwe katika filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ ameibuka na kueleza mengi ikiwemo kutoa mimba ya mpenzi wake wa siku nyingi, Vincent Kigosi, tulia hapohapo. Ruth Suka ‘Mainda’. Mbali na uhusiano wao huo uliokuwa ukifanywa siri, Mainda ameeleza kwa machungu jinsi Ray alivyomtesa kwa kumchanganya na wasanii wenzake, Blandina Chagula ‘Johari’ na Chuchu Hans ambaye ni mke wa mtu. Risasi Mchanganyiko lilipata wasaa wa kufanya naye mahojiano ‘exculusive’ kwa saa moja na dakika tano, wikiendi iliyopita, makao makuu ya gazeti hili, Mwenge – Bamaga, jijini Dar. Hata hivyo, alisema uhusiano wao kwa sasa

SIRI YA HERUFI YA MWANZO YA JINA LAKO

HERUFI A Mwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu...