Posts

Showing posts from September 17, 2013

Ramos ashangazwa na uwezo wa Bale lakini anasema hawakutayarishwa juu ya ujio wake.

Image
Gareth Bale akiwasili Istanbul akiwa na Real Madrid kuwakabili Galatasaray. Galacticos Cristiano Ronaldo amesaini mkataba mwingine wa miaka mitano...

Kaka aambia Milan kutomlipa mshahara

Image
Kaka Mchezaji wa kiungo cha kati wa AC Milan Kaka ameitaka kilabu yake kutomlipa mshahara wake huku akiendelea kupona kutokana na jereha lake la paja ambalo alilipata wakati wa mchezoo wake wa kwanza tangu kujiunga na kilabu hiyo. Mchezaji huyo wa kimataifa wa timu ya Brazil aliondolewa uwanjani na jeraha hilo katika dakika ya 70 ya mechi waliyokwenda sare ya mabao mawili na timu ya Rossoneri.