Posts

Showing posts from September 4, 2013

MAUZO YA OZIL: VILABU VITATU VYA UJERUMANI KUNUFAIKA NA €50 MILLIONI WALIZOLIPA ARSENAL

Image
Klabu inayosh iriki ligi ya daraja la nne Rot-Weiss Essen ni moja ya vilabu vitatu vya Ujerumani ambavyo vinategeme a kunuf aika na mauzo ya Mesut Ozil kutoka Real Madrid kwenda Arsenal kwa ada ya uhamisho w a €50 million . Ozil alianza maisha yake ya soka katika klabu hiyo ya zaman i ya  Bundesliga kabla ya kuhamia Schalke -- iliyopo katika vitongoji vya nyumbani huko Gelsenkirchen -- mnamo mwaka 2005 akiwa na miaka 16. Mwaka mmoja baadae , August 12, 2006, ali cheza mechi yake ya kwanza ya Bundesliga akiitumikia Schalke Royal Blues katika mechi ya sare ya 1-1 dhidi ya Eintracht Frankfurt.  Baada ya kucheza mechi 30 akiwa na Schalke, Ozil alihamia Werder Bremen mwaka 2008, kabla ya kuhamia Madrid kwa ada ya u hamisho wa €18 million kufuatiwa kuonyesha kiwango kizuri katika michuano ya kombe la dunia . Vilabu vyote vitatu vya Ujerumani vitapata mgawo wa fedha za mauzo ya Ozil. Kwa mujibu wa kanuni ya FIFA, v ilabu vyote alivyochezea Ozil kutoka alipokuwa na

ZAIDI YA MAGARI YA MIZIGO 400 KUTOKA TANZANIA YALIOKUWA YAMEKWAMA MPAKA WA RUSOMO RWANDA KUTOKANA NA KODI YAENDELEA NA SAFARI.

Image
  Zaidi ya magari ya mizigo 400 yaliyokuwa yamekwama katika eneo la  Rusumo mpaka wa Tanzania na nchi ya Rwanda baada ya serikali ya Rwanda  kupandisha kodi ya kutoka dola 152 hadi dola 500 kwa kila gari moja la mizigo na kusababisha msongamano mkubwa mpakani Hapo  yameanza kupita kufuatia tozo hiyo mpya kusitishwa  ambapo magari mengi yanapita Rwanda kwenda Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo . Wakizungumza na itv kabla ya kuruhusiwa baadhi ya madereva wa magari ya mizigo wameiomba serikali ya Rwanda kufanya makubaliano na nchi wanachama wa afrika mashariki kwa kuwa na lugha moja ya kodi na kwamba marumbano yaliyopo kati ya rais wa nchi ya Rwanda na Tanzania na kwamba rais wa Rwanda amepandisha gharama bila taarifa kwa wasafirishaji hali inayosababisha usumbufu kwa madereva. Kwa upandewake mmoja wa watendaji wa serikali wa Mamlaka ya mapato Tanzania(TRA) aliopo katika eneo la mpaka wa tanzania na nchi ya Rwanda Bw. Nasoro Ibrahimu amekili kuwepo kwa mso

MAUZO YA OZIL: VILABU VITATU VYA UJERUMANI KUNUFAIKA NA €50 MILLIONI WALIZOLIPA ARSENAL

Image
Klabu inayosh iriki ligi ya daraja la nne Rot-Weiss Essen ni moja ya vilabu vitatu vya Ujerumani ambavyo vinategeme a kunuf aika na mauzo ya Mesut Ozil kutoka Real Madrid kwenda Arsenal kwa ada ya uhamisho w a €50 million . Ozil alianza maisha yake ya soka katika klabu hiyo ya zaman i ya  Bundesliga kabla ya kuhamia Schalke -- iliyopo katika vitongoji vya nyumbani huko Gelsenkirchen -- mnamo mwaka 2005 akiwa na miaka 16. Mwaka mmoja baadae , August 12, 2006, ali cheza mechi yake ya kwanza ya Bundesliga akiitumikia Schalke Royal Blues katika mechi ya sare ya 1-1 dhidi ya Eintracht Frankfurt.  Baada ya kucheza mechi 30 akiwa na Schalke, Ozil alihamia Werder Bremen mwaka 2008, kabla ya kuhamia Madrid kwa ada ya u hamisho wa €18 million kufuatiwa kuonyesha kiwango kizuri katika michuano ya kombe la dunia . Vilabu vyote vitatu vya Ujerumani vitapata mgawo wa fedha za mauzo ya Ozil. Kwa mujibu wa kanuni ya FIFA, v ilabu vyote alivyochezea Ozil kutoka alipokuwa

CHESLEA HAIKUWA SAHIHI KUMTOA KWA MKOPO LUKAKU - ILIKUWA NI AIDHA TORRES AU BA

Image
Jose Mourinh o alikaririwa mara kwa mara akisisitiza kwamba Romelu Lukaku alikuwa na jukumu kubwa ndani ya Chelsea na hatotolewa kwa mkopo tena. Lukaku alicheza katika mechi kadhaa za pre-season na ilionekana kwamba anastahili mno kupewa naf asi, akifunga mabao na akiwasumbua mno mabeki wa timu pinzani. Pamoja na kung'ara huku Demba Ba amebaki Chel sea na Romelu Lukaku ametolewa kwa mkopo kwenda Everton. Je huu ulikuwa ni uamuzi mzuri kwa Chelsea?  Ni muhimu kuona kwamba Lukaku a lianza kwenye michezo 20 tu katika 35 aliyocheza, jambo ambalo linafanya mabao yake 17 aliyofunga kuwa na wast ani mzuri zaidi. Kama tunavyoona hapo juu Lukaku alikuwa bora zaidi kwenye lango la adui msimu uliopita kuliko aidha Fernando Torres au Demba Ba.  Katika Premier League ni vizuri kujua kwamba Fernando Torres alifunga mabao 8 tu msimu uliopita, huku goli moja tu akifunga ndani ya mwaka 2013 . Rekodi yake kwe nye ligi ya nyumbani na Chelsea ni mbaya sana akifunga mabao 15 tu

JWTZ lasitisha likizo....Hali ya utayari wa Kijeshi ( Military readiness) yatangazwa.

Image
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesitisha wapiganaji wake kwenda likizo na kuwaita waliokuwa likizo kurudi makambini. Kwa mujibu wa vyanzo vya ndani kabisa vya kiinteligensia vijulikanavyo kama ‘KAINZI’,  uamuzi huo umeenda sambamba na kuweka hali ya utayari wa kijeshi (military readiness) kufikia asilimia 50 ( katika hali ya utulivu na amani nchini hali ya utayari wa kijeshi huwa asilimia 25 ) Kwa mujibu wa chanzo  hicho ambacho kimekuwa kikifuatilia mwitikio wa vyombo vyetu vya usalama kufuatia kuongezeka kwa hali ya utete katika eneo la maziwa makuu,  vikosi vya jeshi nchini kufikia jana vilikuwa vimeshasomewa taarifa hiyo ya kusitisha likizo na hata pasi za kutoka makambani huku maafisa wake ambao walikuwa nje ya vituo vyao vya kazi wakitakiwa kurudi makambini.  Uamuzi huu hata hivyo haujawa wazi kama unahusu wapiganaji wote nchini au ni wa Brigedia za Tabora au Brigedia za vikosi maalum tu. Kwa mujibu wa chanzo hicho cha kuaminika Brige