Posts

Showing posts from October 10, 2013

Wilshere:Waingereza tu waichezee England

Image
  Wilshere huchezea klabu ya Arsenal Mchezaji wa kiungo wa Arsenal na England amezusha mjadala kuhusu matamshi yake kwamba Waingereza tu ndio waiwakilishe timu ya soka ya England. Jack Wilshere alikua akielezea msimamo wake baada ya kijana wa Manchester United Adnan Januzaj kutajwa kwamba anaweza kuichezea England ikiwa atatimiza masharti ya Fifa ya ukaazi wa miaka 5 kwa kua bado hajaamua alichezee taifa gani

Atuzwa kwa kutetea elimu kwa wasichana

Image
Malala alipigwa risasi kichwani kwa kutetea haki za wasichana kusoma Msichana mwenye uraia wa Pakistan ambaye pia ni mwanaharakati wa elimu , Malala Yousafzai, aliyepigwa risasi kichwani na wapiganaji wa Taliban, ameshinda tuzo la wanaharakati wa haki za binadamu la Sakharov ambalo hutolewa na Muungano wa Ulaya. Malala mwenye umri wa miaka 16 alipigwa risasi mwaka jana kwa kutetea haki za wasichana kupata elimu.

NICE SONG DOWNLOAD

Image
pimk-fuckin-perfect samwelmlawa.blogspot.com

UHABA WA WAOWAJI:WANAWAKE 'SINGLE' ELFU 8 WA NIGERIA WAANDAMANA KUSHINKIZA SERIKALI IWA SAIDIE WAOLEWE

Image
  Amini usiamini kuwa nigeria ina upungufu wa wanaume kuoa!kiasi kwamba wanawake wanaotamani kupata wenza wakutengeneza familia wameamua kuchukua hatua.zaidi ya wanawake elfu 8 walio single jana wameandamana kutokana  kutokana na upungufu wanaume wa kuwaoa. Lengo ya maandamano ayo

ZIARA YA ZITTO KABWE KANDA YA MAGHARIBI, JIMBO LA IGALULA‏

Image

MASOGANGE AJA NA SIRI NZITO

Image
Na Mwandishi Wetu VIDEO Queen wa Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ alitarajiwa kutua nchini jana Jumatano akitokea Afrika Kusini huku siri nzito ya mzigo aliodakwa nao ikitawala, Amani linakujuza. Agnes Gerald ‘Masogange’. Masogange anakuja Bongo baada ya kumaliza kulipa deni lote la randi 30,000 (shilingi milioni 4.8) alizoamriwa kulipa na Mahakama Kuu ya Gauteng iliyopo Kempton Park jijini Johannesburg nchini humo baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kuingiza kemikali haramu, Julai 5, mwaka huu. Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika, Masogange anarejea na

MAMA KANUMBA ATOA ONYO ZITO

Image
MAMA wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa ametoa onyo kali kwa watu wanaotumia jina la mwanaye huyo kuuza filamu zao.                 Akichonga na paparazi wetu, Mama Kanumba alisema hivi karibuni kuna filamu imetoka kwa watoto wa baba Kanumba waliopo Shinyanga ambayo imewekwa nembo ya kampuni ya mwanaye, Kanumba The Great Film hivyo haitambui. “Jamani kampuni ya Kanumba haina tawi Shinyanga kama filamu hiyo inayosambazwa huko bali hiyo imechezwa na watu ambao hawatambuliki katika kampuni ya marehemu mwanangu,” alisema Mama Kanumba.

NORA NA WATEMANA GEOFREY

Image
UHUSIANO wa wasanii wawili wa filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ na Geofrey Kusila umeota mbawa baada ya kumwagana na kila mmoja kuendelea na maisha yake.

MAMA MJAMZITO AZIKWA NA KIUMBE TUMBONI

Image
Stori: Imelda Mtema RAHMA Ally, mkazi wa Kijiji cha Kisanda, Buhaya, Mkoa wa Tanga, ameuawa kikatili hivi karibuni baada ya kupigwa mateke tumboni akiwa mjamzito wa miezi saba na kisha kuzikwa na kiumbe tumboni....

Wayne Rooney says Sir Alex Ferguson played him out of position

Image
Wayne Rooney: Insists he has been settled all summer Wayne Rooney has revealed he was unhappy at Manchester United under Sir Alex Ferguson because he felt he was being played out of position. Rooney says he was fed up with being played in midfield, but insists that he is now happy and settled under new manager David Moyes, who is fielding him up front. Although Ferguson's name was not mentioned as Rooney spoke of the frustrations he felt at being repeatedly selected out of position, it was clear the major difference at United this season is Moyes occupying the manager's chair. "You can clearly see I'm playing and I'm happy in my football," said Rooney. "David Moyes has come in, he's playing me up front, and I'm enjoying it