Posts

Showing posts from November 7, 2014

PLAY GIRL 1 FUATILIA KISA HIKI

"...Jamani mi sijui utaratibu wa  hapa., naomba mnirudishie tu  huo mkoba wangu.."  Nikiwa bado naendelea  kulalamika pale uwanja wa  ndege, mara akatokea mkaka  mmoja mweupe aliyevalia sare za  hawa wafanyakazi wa ndege..  "..embu niambie tatizo nini dada  mbona unalalamika.."  "..Leo ndio mara yangu ya  kwanza kupanda ndege na wakati  natoka Mwanza hawakunizuia  hivi, lakini nashangaa nimefika  hapa Dar eti wamezuia mkoba  wangu wanadai kuwa  hawaruhusu kusafiri na vipodozi  kwenye ndege.. Ni haki kweli  jamani..?"  "..dada unaitwa nani..?"