Posts

Showing posts from November 15, 2013

Watu watano wakamatwa

Image
Meno ya Tembo yaliyokamatwa Zanzibar Polisi nchini Tanzania wamesema shehena ya Pembe za Tembo zilizokamatwa katika bandari ya Zanzibar ni sawa na Tembo mia tatu na watano, zikiwa na thamani ya karibu shilingi bilioni nane, sawa na karibu dola milioni tano za Kimarekani. Watu wawili wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na pembe hizo, huku maafisa wawili wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, na mmoja wa Mamlaka ya Bandari pia wamekamatwa kuhusiana na tukio hilo.

NANI MWANASOKA BORA ZAIDI AFRIKA?

Image
Fursa ni yako kumchangua mwanasoka unayedhani ni nyota zaidi barani Afrika kati ya hawa watano Majina ya wanaowania taji la BBC la mchezaji bora zaidi barani Afrika mwaka wa 2013 yametangazwa rasmi hii leo kupitia kipindi cha kiswahili cha Amka na BBC

SHILOLE, MASHABIKI WANATAKA UCHEZE UCHI?!!

Image
Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa stejini. NCHI yetu imejaaliwa kuwa na vijana wengi wenye vipaji karibu katika kila nyanja. Wapo waliojaaliwa kupewa na hawajui kuvitumia pasipo mwongozo, lakini wengine wanajua kuvitumia na kujiongoza