Posts

Showing posts from November 20, 2013

Mexico ease into World Cup after 9-3 aggregate win over New Zealand

Image
Mexico swept aside New Zealand to make it through to the World Cup Mexico breezed into the World Cup finals despite some brief resistance from New Zealand as they claimed a 4-2 win in the second leg of their qualifying tie in Wellington, cruising through 9-3 on aggregate. The All Whites went into the match 5-1 down after a jarring evening at the Azteca last week, and their leaky defence again ensured they had no chance of boarding a flight to Brazil next summer. Mexico eased to a 3-0 lead in 33 minutes with a first-half hat-trick from striker Oribe Peralta before New Zealand hit back with two goals in three minutes, firstly when Christian James scored from the penalty spot before Rory Fallon claimed their second.

Ghana , Algeria zafuzu Kombe la Dunia

Image
Asamoah Gyan mshambuliaji wa Ghana Ghana na Algeria jumanne zimeungana na timu za Nigeria, Ivory Coast na Cameroon kukamilisha nchi tano zitakazowakilisha bara la Afrika katika fainali za kombe la dunia nchini Brazil mwaka 2014. Ghana wakicheza ugenini dhidi ya Misri pamoja na kufungwa magoli 2 - 1 walifanikiwa kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia kwa vile katika mechi ya awali Ghana iliifunga Misri magoli