Posts

Showing posts from June 13, 2015

YANGA HII MTAIKOMA

Image
 

NI MPAMBANO ALIKIBA VS DIAMOND

Image
  Kwa ufupi Wasanii hao wanapambana katika tuzo saba, ingawa Diamond anaonekana kuwa na nafasi zaidi ya kumuacha Ali Kiba kutokana na kutajwa kwenye tuzo 10 na hivyo kuwa na nafasi ya kufikia tena rekodi yake ya kuzoa tuzo nyingi kama mwaka jana.

MZIMU WA NYERERE WAWATESA WAGOMBEA WA URAIS 2015

Image
Kwa ufupi Makada hao pia wamezuru kaburi la Baba wa Taifa na wengine kutumia kuaminiwa kwake na wananchi wakati akiwa na umri mdogo ili kujenga hoja kuwa uzoefu na umri si suala la kuzingatiwa katika kupata kiongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano.

MAYAI YA KWALE KAMA KIKOMBE CHA BABU

Image
B ado nchi yetu ni kama haina viongozi kabisa kuna hili jambo limeibuka la mayai ya kwale kutibu magonjwa sugu, Bila kuthibitishwa na wataalamu na Serikali ipo likizo trey ya mayai ya kwale ni tsh.15,000 hadi tsh. 20,000, wagonjwa wanapewa dozi ya mayai mabichi kwa kuchanganya na asali wengine wanaambiwa wachemshe wale kiini chake! sasa ukwel upo wapi? Karibuni wanaJamiiForums kwa mjadala wa kitaalam zaidi na kwa wazoefu waliotumia mayai haya na kupona. Miaka ya hivi karibuni kulikuwa na gumzo kubwa hapa nchini na hata nje ya nchi juu ya tiba ya kimaajabu maarufu kama