Posts

Showing posts from December 7, 2013

Familia ya Mandela:'Ni kipindi kigumu'

Image
Wananchi wa Afrika Kusini wamekuwa wakikesha kumkumbuka Mandela Familia ya Hayati Nelson Mandela imezungumza kwa mara ya kwanza tangu Mandela Kufariki Alhamisi. Wameelezea kuwa katika kipindi kigumu huku wakitarajia wiki moja inayokuja kuwa wakati mwingine mgumu kwao. "Msingi wa familia yetu umetuondoka,’’ alisema msemaji wa familia ya Mandela Luteni Generani Themba Matanzima ingawa alisisitiza kuwa Mandela daima atasalia katika mioyo yao.

Man U kipigo mfululizo

Image
  Manchester United Jumamosi lipata kipigo chake cha pili nyumbani katika muda wa siku nne baada ya kulazwa bao moja bila na New Castle. Mchezaji wa New Castle Yohan Cabaye ndiye aliipatia kilio Man U huku kwao ikiwa kicheko baada ya kushinda Manchester United kwa mara ya kwanza nyumbani Old Trafford tangu mwaka 1972.