MAMA KANUMBA ATOA ONYO ZITO


MAMA wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa ametoa onyo kali kwa watu wanaotumia jina la mwanaye huyo kuuza filamu zao.
                Akichonga na paparazi wetu, Mama Kanumba alisema hivi karibuni kuna filamu imetoka kwa watoto wa baba Kanumba waliopo Shinyanga ambayo imewekwa nembo ya kampuni ya mwanaye, Kanumba The Great Film hivyo haitambui.
“Jamani kampuni ya Kanumba haina tawi Shinyanga kama filamu hiyo inayosambazwa huko bali hiyo imechezwa na watu ambao hawatambuliki katika kampuni ya marehemu mwanangu,” alisema Mama Kanumba.

Comments

Popular posts from this blog

TUMIA SMS HIZI KUBORESHA PENZI LENU

FAIDA TISA ZA MBEGU ZA MABOGA KATIKA MWILI WA BINADAMU

NINI MAANA YA MAPENZI