UHABA WA WAOWAJI:WANAWAKE 'SINGLE' ELFU 8 WA NIGERIA WAANDAMANA KUSHINKIZA SERIKALI IWA SAIDIE WAOLEWE
Lengo ya maandamano ayo
kushinikiza serikali kuwasaidia waolewe ,kivipi ndo swali nimejiuliza hata mimi....?
Wanawake waliojikusanya kwa jili ya kuandamana ni mkusanyiko wa 5380 waliopewa talaka,2200 ni wajane,1200 ni ya tima,na 80 wengine.wanawake hao wamedai kuwa hawana uwezo hata uwezo wa kununua chakula hata cha siku kwa sababu hawana waume wa kuwasaidia ndio maana wanaitaji wanaume wa kuwaowa na kuwasaidia mahitaji yao
Comments
Post a Comment