KESI YA PONDA YAAHIRISHWA MPAKA SEPTEMBA 22


Shehe Ponda akiwasalimu waumini ndani ya mahakama.
…Akiwa  na askari magereza.
Waumini wa dini ya Kiislam wakitoka Mahakama Kuu.
Askari magereza wakimtoa  Ponda mahakamani.
Gari la magereza lililompakia Shehe Ponda likitoka eneo la mahakama.

Wafuasi wa Shehe Ponda wakiwa nje ya mahakama.
KESI inayomkabili Shehe Ponda,  iliyokuwa inasikilizwa katika Mahakama Kuu, jijini Dar es Salaam, imeahirishwa tena  baada ya mawakili wa pande zote mbili kutakiwa kupeleka hoja  zao za utetezi kwa maandishi.
Kesi hiyo itatajwa tena tarehe 22 Septemba mwaka huu.

Comments

Popular posts from this blog

TUMIA SMS HIZI KUBORESHA PENZI LENU

FAIDA TISA ZA MBEGU ZA MABOGA KATIKA MWILI WA BINADAMU

NINI MAANA YA MAPENZI