Juma Kaseja baada ya kusaini mkataba wa kuichezea Yanga.
Kipa
Juma Kaseja amesaini mkataba wa kuichezea Yanga rasmi, mkataba huo
umesainiwa leo Ijumaa na ataanza kuitumikia timu hiyo katika mzunguko wa
pili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Kaseja amesaini kwa dau la Sh
milioni 40.
Comments
Post a Comment