Ramos ashangazwa na uwezo wa Bale lakini anasema hawakutayarishwa juu ya ujio wake.


Flying high: Gareth Bale arrives in Istanbul for Real Madrid's Champions League tie with Galatasaray
Gareth Bale akiwasili Istanbul akiwa na Real Madrid kuwakabili Galatasaray.
Galacticos: Real Madrid's squad touch down in Turkey for Tuesday's group stage clash in the capital
Galacticos
Thumbs up: Cristiano Ronaldo signed a new deal over the weekend reaffirm his status as Madrid's top player
Cristiano Ronaldo amesaini mkataba mwingine wa miaka mitano...
Keeping order: Iker Casillas has fallen out of favour at the Bernabeu but is starting all the European matches
Iker Casillas
Legend: Assistant coach and Sporting Director Zinedine Zidane arrives in Istanbul ahead of the match at Ali Sami Yen Arena
Legend: Assistant coach and Sporting Director Zinedine Zidane arrives in Istanbul ahead of the match at Ali Sami Yen Arena
Imeelezwa kuwa Gareth Bale ameanza kumuogopesha mchezaji mwenzake ndani ya Real Madrid Sergio Ramos ambaye pia amesema kuwa ndani y kikosi chao ametayarishwa kama ambavyo mshambuliaji huyo wa zamani wa Tottenham anavyo elekea.

Mchezaji huyo ghali wa dunia alifunga goli katika mchezo wake wa kwanza tu kuitumikia klabu yake mpya katika mchezo dhidi ya Villarreal ikiwa ni siku chache tu zimepita baada ya kuihama White Hart Lane kwa uhamisho wa pauni milioni £86.

Bale pia amekuwa vizuri mazoezini ambapo amekuwa akiwaacha wachezaji wenzake katika mshangao mkubwa kutokana na kipaji chake na ujanja wa kucheza soka.
Kikosi cha Real Madrid kimewasili Istanbul hii leo kikijiandaa na mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya Galatasaray ya Didier Drogba ukiwa ni mchezo wa vilabu bingwa Ulaya hatua ya makundi hapo kesho.

Mlinzi Ramos amenukuliwa akimzungumzia mshambuliaji huyo wa kiimataifa wa Wells akisema
'Ni kweli Gareth Bale amekuwa ni mchezaji aliye hamia kwa dau kubwa majira ya kiangazi na tunafuraha tuko naye ,
'Ukweli ni kwamba hakuchezea timu ya England katika michuano ya mabingwa Ulaya hivyo hatukumjua zaidi.
'Tunajua kwa jinsi kocha alivyokuwa akimtaka kwa nguvu kubwa kiasi kile lazima atakuwa ni mchezaji mzuri lakini hakuna aliyetayarishwa kwa aina ya upekee wake.
Instant impact: Bales slid the ball home from close range on his Real Madrid debut against Villarreal
Bales akiupeleka mpira karibu na goli katika mchezo wa ligi dhidi Villarreal.
Real deal: Bale is now lining up alongside the likes of Ronaldo - who also got on the scoresheet
Bale sasa anacheza sambamba na Ronaldo.
Real deal: Bale is now lining up alongside the likes of Ronaldo - who also got on the scoresheet
Real deal: Bale is now lining up alongside the likes of Ronaldo - who also got on the scoresheet
'Tumekuwa naye katika mazoezi mara chache lakini kwa yale tunayo yaona kutoka kwake hatuamini, ni mwepesi, mjanja na kinachotuogopesha ni kwamba kwamba hajawa mzima kwa mchezo kwa asilimia 100.'
Real Madrid inaanza vita ya kutetea taji la ligi ya mabingwa Ulaya wiki hii ikiwa wanawania kwa mara ya 10 yaani 'Decima'
Na Ramos anaamini kuwa Carlo Ancelotti kwasasa ana kikosi kitakacho pelekea kutwaa taji.
High praise: Ramos says he and his team-mates have been shocked at just how good Bale is
High praise: Ramos says he and his team-mates have been shocked at just how good Bale is
Top spec: Ronaldo has just signed a new £76million five-year deal at the Bernabeu
Ronaldo amesaini mkataba utakao muweka Bernabeu kwa zaidi ya miaka mitano ijayo akikunja pauni £76.

Comments

Popular posts from this blog

TUMIA SMS HIZI KUBORESHA PENZI LENU

FAIDA TISA ZA MBEGU ZA MABOGA KATIKA MWILI WA BINADAMU

NINI MAANA YA MAPENZI