MASANJA MKANDAMIZAJI AMWAGA MACHOZI BAADA YA KUSINGIZIWA KUWA ANAUZA BANGI



 Jana zilisambaa  habari  kwamba  masanja  mkandamizaji  na  msanii Diamond  wamedakwa  na  polisi  na  possport  zao  za  kusafiria  zimezuiwa....

Taarifa  hizo  zimemfanya  Masanja  afunguke  na  kudai  kwamba  habari  hizo  si  za  kweli, ni  habari  zenye  lengo  la  kumchafulia  jina.


Masanja  ameenda  mbali  zaidi  na  kudai  kwamba yeye  ni  mtumishi  wa  mungu, yeye  ni  mjasiliamali  na  ni  mkulima  pia.

Mali  alizonazo  zinatokana  na  juhudi  zake  za  kazi. TBC wanamlipa  milioni  5  kwa  mwezi.Stoo  ana  magunia  ya  mpunga  zaidi  ya  1000  na  kila  gunia  linauzwa  zaidi  ya  200,000.

Comments

Popular posts from this blog

TUMIA SMS HIZI KUBORESHA PENZI LENU

FAIDA TISA ZA MBEGU ZA MABOGA KATIKA MWILI WA BINADAMU

NINI MAANA YA MAPENZI