MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA YAFANYIKA MBEYA
| Mkuu wa wilaya ya Chunya Deodatus Kinawiro akiweka mkuki na ngao kuwakumbuka mashujaa waliokufa vitani |
| Mwakilishi wa mstahiki meya wa jiji la mbeya akiweka shada lake |
Mzee
Ernest Waya akiweka upinde na mshale kuwakumbuka wenzake aliokuanao vitani enzi
hizo...
|
| Chifu Lyoto alikuwepo kuweka mshda kuwakumbuka mashujaa |
| Viongozi mbali mbali wa dini waliwaombea duwa mashujaa wetu |
| Mzee Ernest Paulo Waya aliyepigana vita kuu ya pili vya Dunia alikuwepo kuwakumbuka wenzake.katika kuwadhimisha walikufa katika vita ya dafuu. |
Comments
Post a Comment