RAY C AMUA KUMPOKEA BWANA KUWA MWOKOZI WA MAISHA YAKE RASMI,BAADA YA KUBATIZWA

rayc1982Nimebatizwa Rasmi Leo kanisa la Siloam...Shika neno tenda neno,Shetani huna nafasi tena kwenye Maisha yangu,nimepewa ruksa na Mwenyez Mungu nikukanyage kanyage Usinizoee!!!!Ameeeen!

Comments

Popular posts from this blog

TUMIA SMS HIZI KUBORESHA PENZI LENU

FAIDA TISA ZA MBEGU ZA MABOGA KATIKA MWILI WA BINADAMU

NINI MAANA YA MAPENZI