PLAY GIRL 1 FUATILIA KISA HIKI


"...Jamani mi sijui utaratibu wa
 hapa., naomba mnirudishie tu
 huo mkoba wangu.."
 Nikiwa bado naendelea
 kulalamika pale uwanja wa
 ndege, mara akatokea mkaka
 mmoja mweupe aliyevalia sare za
 hawa wafanyakazi wa ndege..
 "..embu niambie tatizo nini dada
 mbona unalalamika.."
 "..Leo ndio mara yangu ya
 kwanza kupanda ndege na wakati
 natoka Mwanza hawakunizuia
 hivi, lakini nashangaa nimefika
 hapa Dar eti wamezuia mkoba
 wangu wanadai kuwa
 hawaruhusu kusafiri na vipodozi
 kwenye ndege.. Ni haki kweli
 jamani..?"
 "..dada unaitwa nani..?"

 "..enh, Tina.., sio hapa tu
 'Precision Air' hata mashirika
 mengine ya ndege huwa
 hawaruhusu.."
 "..ok, lakini ndio nimeshafika Dar
 sasa utanisaidiaje..?"
 "..subiri kwanza hapo hapo
 nakuja.."
 Aliondoka akaingia kwenye ofisi
 zao na baada ya muda akarudi..
 "..Unaruhusiwa kwenda.."
 "..oh thanks., na vitu vyangu..?"
 "..we nenda navyo tu
 nimeshaongea na mabosi.."
 Nikachukuwa mikoba yangu
 nakuondoka zangu ile natoka
 hatua tatu tu, "..Tina.? Tina..?"
 yule mkaka akaniita..
 "..Nimesahau kitu.."
 Moyo ukaniripuka tena huku
 nikibaki sijielewi elewi..
 "..umesahau kitu gani tena
 kwangu..?"
 Akaingiza mkono wake mfukoni
 nakutoa kikaratasi kisha akanipa..
 "..Business Card yangu hiyo..,
 naitwa Jerry.."
 Nilichukuwa nakuonesha
 tabasamu huku 'dimpozi' zangu
 nikizilazimisha,
 "..Hanijui kama chuo wananiita
 Tina zoa zoa enh"
 Nilijisemea kimoyo moyo huku
 nikijiondokea mpaka hostel zetu
 za chuo pale 'chuo cha biashara'
 CBE'..

****

Usiku wote sikulala kwa raha
 kwani nilikuwa namfikiria Jerry tu
 jinsi alivyonisaidia pale uwanja wa
 ndege, nilijikuta hata asubuhi
 ilipofika sikuingia darasani zaidi ya
 kujilalia tu kitandani huku
 nikichukuwa simu yangu
 nakutuma meseji kwa Jerry..
 '..morning Jerry..'
 Haikuchukuwa muda akapiga
 simu..
 "..hallow.."
 "..yap mambo Jerry..?"
 "..pouwa, naongea na nani..?"
 "..otea, sauti ya nani hii..?"
 Nilimtega kwa makusudi ili nijue
 kama ni kicheche..
 "..mmhh.. Sijui bwana niambie
 tu.."
 "..aukey naitwa Tina.."
 "..Tina.. Tina.. Tina yule wa jana
 aliozuiliwa mkoba wa vipodozi..?"
 "..Exactly..(sawa kabisa)"
 "..Jerry..?"
 Niliita kisha nikakaa kimya huku
 nisijue ntamwanzaje kwani
 kiukweli nilishamtamani toka jana
 na nilazima aujue mwili wangu na
 hivi handsome tena mweupe...
 "..mmh ningependa kujua una.."
 Kabla sijamalizia kumwambia
 akaniwahi..
 "..Tina..? Sorry kunakazi imetokea
 hapa fasta nitakupigia baada ya
 muda.."
 Akakata simu..
 "..hapa leo leo lazima kieleweke
 na hivi toka nimetoka mwanza sija
 sex na mwanaume..? Huu
 mshawasha wote lazima aumalize
 Jerry.."
 Nilijisemea kimoyo moyo huku
 nikiingia sehemu yakuandikia
 meseji nakutaka kutuma meseji
 lakini kabla sijatuma Jerry akawa
 ananipigia..
 "..tayari, haya ulikuwa
 unasema..?"
 "..Natafuta kazi, ninaweza kupata
 hapo..?"
 "..kazi.? Kazi gani unataka.."
 "..i mean' nahitaji niwe
 mfanyakazi wako wa ndani
 'housegal' na chochote utakacho
 nitatekeleza., au umeshaoa..?"
 "..Tina.? Kumbe unavituko
 hivyo..? Mi sijaoa.."
 Nikajikaza nakumtamkia huku
 mshipa wa aibu nikiuweka
 pembeni Tina mie..
 "...ok, nimekumis japo nikuone
 ukitoka ofisini.. Kwani unaish
 wapi..?"
 Akanikatia simu..
 "..shiit.., bado nitampata tu tena
 leo leo lazima nimnyonye nanii
 yake mpaka nichoke.. Na
 ntakavyomkatikia hadi atajuta
 mbona..."
 Niliendelea kujipa moyo huku
 nikiongea peke yangu nakuinuka
 pale kitandani kisha nikabadili
 nguo....
 Nilijitesa vya kutosha lakini bado sikuridhika, nikampigia tena simu,
 "..hallow..!"
 "..yap Tina, nimebanwa tena hapa nashindwa hata kuongea huku nafanyakazi, lakini usihofu nitakupigia baada ya muda.."
 "..hapana mie sitaki bwana, kwanza niambie tutaonana leo..?"
 Nikaanza kumdekea kana kwamba ndo ameshakuwa mpenzi wangu..
 "..Leo nitawahi kutoka ofisini hivyo ondoa wasiwasi kabisa lazima tutaona.."
 "...ok, kazi njema basi.."
 "..pouwa baadaye.."
 Niliinuka nakuelekea bafuni kwenda kujisafisha vizuri na nilivyorudi nikawakuta wenzangu tayari wameshatoka madarasani na kwa muda huu walikuwa wakikishangaa kikadi nilichopewa na Jerry..
 "..Tina we nomaa, naona mambo yako makubwa shosti.."
 Ilikuwa ni sauti ya Aisha rafiki yangu wa karibu,
 "..mh nawewe aisha kwa kuchunguza mambo..?"
 "..kwahiyo toka umetoka huko Mwanza tumeanza kufichana siyo..?"
 "...Kipi cha kukuficha jamani huyo ni rafi.."
 Kabla sijamalizia kumwambia Aisha mara simu yangu ikaita, haraka haraka nikaangalia jina ni Jerry..
 "..yap, niambie Jerry..."
 "..mi ndio natoka ofisini nipo na gari tuonane wapi..?"
 Nikakaa kimya kama dakika 1 kisha nikamjibu..
 "...njoo hadi chuoni hapa Cbe ukifika maeneo ya hapa nipigie.."
 Nilikuwa namuelekeza huku muda wote huo Aisha alikuwa akinishangaa,
 "..Shosti naweza kwenda na mimi..?"
 Aisha aliuliza nakunifanya nimuangalie kwa jicho la dharau, kisha nikampa dongo kama kawaida yetu yakutaniana..
 "..nawewe..? Nawewe ukakatikie au ukanishikie nanii yake.."
 Ndani ya dakika kama 40 tayari mlio wa simu yangu ulikuwa ukiita kuashiria kuwa Jerry keshafika maeneo ya chuo, nikaipokea ile simu...
 "...hallow Jerry.."
 "..sorry sana.."
 "...Nimepigiwa simu,nahitajika kwa shangazi kunamatatizo yametokea.."
 "..unasemaje..?"
 "..wala usihofu hakijaharibika kitu, kwani suala la kuonana bado lipo pale pale.."
 Niliona kama ananizingua, nikamkatia simu, hasira kali ilinishika huku nikiishiwa na pozi.
 Nikarudi zangu mpaka rum kwangu nakuzivua zile nguo kisha nikajitupia kitandani,
 "...siyo mbaya, anabahati..? Yani leo? Mbona angeisoma namba..?"
 Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiangalia namba yake ya simu mara mbili mbili nakuifutilia kabisa..
 Nilipomaliza kuifuta nikashangaa napigiwa simu na namba ngeni tena ya airtel, nikaipokea fasta..
 "..bila shaka nazungumza na Tina.."
 "..yap, ndio mie nani mwenzangu.."
 "..mie ni mdogo wake na Jerry naitwa Nyemo, bro kanituma nije nikuchukuwe.."
 "..kwani yeye yuko wapi na wewe uko wapi..?"
 "..kaelekea kwa shangazi Temeke ila mie nipo hapa chuoni Cbe nje kabisa.."
 Furaha ilinijia upya kabisa na sikutaka hata kupoteza muda, nikaichukua nguo yangu ile ile nakuivaa, nikachukuwa na mkoba wangu nikauwekea kanga na vipodozi nikatoka nakujifanya kama naenda darasani kujisomea kumbe naelekea nje kabisa, nilipotoka nikampigia simu huyo mdogo wake..
 "..enhe, upo upande gani..?"
 "..nipo upande wa huku karibu na chuo cha DIT nipo kwenye gari toyota Noah nyeusi namba T612 ATB.."
 Kama nilivyoelekezwa wala sikukosea, ndani ya dakika chache nilikuwa nje ya hiyo gari ya Noah, alikuwa amekwishaniona hivyo akanifungulia mlango..
 "..oh, Tina..?"
 "..ndio mimi, mambo vipi..?"
 Sikuamini kama Jerry atakuwa na mdogo wake mzuri namna hii, tena shombe shombe mweupee..
 "...Huyo Jerry anajifanya mtu wa mambo mengi siyo..? Sasa namalizana na mdogo wake tena leo leo.."
 Nilijisemea kimoyomoyo huku mawazo yakiwa yamebadilika, pale pale kabla hajaliwasha gari nikaanza kwa kumtega, nilipandisha kisketi changu mpaka nguo ya ndani ikaonekana, Nyemo akanitolea macho mapaja yangu, nikayashika maziwa yangu vizuri mpaka yakapanda juu kama yanataka kutoka.
 Muda wote Nyemo alikuwa kazubaa tu..
 "..Nyemo endesha gari twende

Comments

Popular posts from this blog

TUMIA SMS HIZI KUBORESHA PENZI LENU

FAIDA TISA ZA MBEGU ZA MABOGA KATIKA MWILI WA BINADAMU

UMUHIMU WA KUJIFUNZA SAIKOLOJIA