Posts

POLISI SASA NI KONDA

Image
SOMA UTAJIFUNZA KITU KIKUBWA SANAA,. MAISHA ni mapambano. Kuna kupanda na kushuka na Waswahili wana usemi unaosema ‘Kesho yako anaijua Mungu’. Usemi huu unathibitishwa na Farahana Mwanjonde (40), ambaye alikuwa askari polisi na sasa ni utingo wa daladala. Nilivutiwa na muonekano wake na uchangamfu wake, hasa pale anapopishana na trafiki barabarani, ambapo huwa wanamchangamkia. Siku niliyomhoji Farahana alinieleza kuwa aliwahi kuwa polisi na kwamba anapitia changamoto nyingi katika maisha. Lakini, ukimuangalia tabasamu lake,

TANGAZA NAMI

KARIBU KWA MATANGAZO MBALIMBALI

UFUGAJI BORA WA MBUZI NA KONDOO

Image
Mbuzi na kondoo ni wanyama ambao wanaweza kufugwa kwa gharama nafuu pia ni wavumilivu wa ukame na maradhi tofauti na ngo’mbe kwa kua wana umbile dogo wanaweza kufugwa katika eneo dogo na nguvu kazi ndogo na hata kwa wenye kipato kidogo.Kuzaa(uzao) kwa muda mfupi kuna mwezesha mfugaji kuwa na mifugo mingi kwa muda mfupi

NAMNA YA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI

A.KWA NINI KUKU WA KIENYEJI? 1. Wastahimilivu wa magonjwa lakini ni muhimu wakikingwa na magonjwa ya kuku kama mdonde, ndui ya kuku n.k ili kuweza kuwaendeleza. 2. Wana uwezo wa kujitafutia chakula ardhini. 3. Wana uwezo wa kuatamia mayai, kutotoa na kulea vifaranga na ustahimilivu wa mazingira magumu kama ukame, baridi n.k 4.Nyama na mayai yake vina ladha nzuri

UFUGAJI WA NGURUWE

Image
Utunzaji wa nguruwe mara nyingi hutegemea aina ya nguruwe, njia na aina ya ufugaji. Kwa mfano nguruwe jike anayefugwa kwa ajili ya kuzaa anahitaji kutunzwa tofauti na wale wanaonenepeshwa kwa ajili ya nyama. Kadhalika nguruwe wanaweza kufugwa ndani ya banda au nje, kutegemea na ukubwa wa shamba, fedha zilizopo kwa shughuli za ufugaji na aina ya nguruwe. Utunzaji wa Nguruwe Dume Achaguliwe dume mwenye sifa bora ikiwa ni pamoja

SIFA ZA MABANDA YA KUFUGIA KUKU

Image
Banda la kuku Katika ufugaji wa kuku itakiwa kuwa na ubunifu wa banda la ufugiaji kuku ili kuboresha uzalishaji wa kuku bora wenye afya nzuri na wasiweze kushambuliwa na magonjwa mbalimbali kwa mazingira ya mabanda yakiwa ayana ubora ni  tatizo. Kuna watu wameweka fikra za ufugaji lakini awazii banda la kuwaweka kuku linatakiwa likizi vitu gan ili aweze kufuga.        SIFA ZA BANDA ZURI LA KUKU:     kuwe na hewa yakutosha kwenye ilo banda.